sw_tn/mrk/04/40.md

546 B

Na akasema kwao

"Na Yesu akasema kwa wanafunzi wake"

Kwa nini mnaogopa? Je hamna imani bado?

Yesu anauliza maswali haya kuwafanya wanafunzi kufikiri kwanini wanaogopa wakati yuko pamoja nao. Haya maswali yanaweza kuandikwa kama sentensi. "Haupaswi kuogopa. Unahitaji imani zaidi"

Huyu ni nani tena, kwa sababu hata upepo na bahari vya mtii?

Wanafunzi wanauliza swali katika hali ya kushangaa kwa yale Yesu alifanya. Hili swali linaweza kuandikwa kama sentensi. "Huyu mtu si kama watu wengine wa kawaida; hata upepo na bahari unamtii!"