sw_tn/mrk/04/35.md

582 B

Sentensi unganishi

Kama Yesu na wanafunzi wake wanachukua mtumbwi kukwepa umati wa watu, upepo mkali wa dhoruba ukajitokeza. Wanafunzi wake wanaogopa wanapoona hata upepo na bahari unamtii Yesu.

akasema kwao

"Yesu alisema kwa wanafunzi wake"

upande wa pili

"upande wa pili wa bahari ya Galilaya" au "upande wa pili wa bahari"

upepo mkali wa dhoruba ukajitokeza

Hapa "ukajitokeza" ni lugha inayotumiwa kwa "kuanza" " upepo mkali wa dhoruba kuanza"

mtumbwi ulikuwa umejaa

Inaweza kuwa msaada kusema kwamba mtumbwi ulikuwa umejaa maji. "mtumbwi ulikuwa umejaa maji"