sw_tn/mrk/04/33.md

415 B

alisema neno kwao

Neno "kwao" urejea kwa umati

kwa kadiri walivyoweza kuelewa

"na kama waliweza kuelewa baadhi, aliendelea kuwaambia zaidi"

wakati alipokuwa peke yake,

Hii inamaanisha kuwa alikuwa mbali na umati, lakini wanafunzi bado walikuwa naye.

akawaelezea kila kitu

Hapa "kila kitu" ni kutia chumvi sana katika kueleza kitu au tia chumvi. Aliezea mifano yake yote. "alielezea mifano yake yote"