sw_tn/mrk/04/24.md

500 B

Akawambia

"Yesu akawambia umati"

kwa kuwa kipimo mpimacho

maana zinazowezekana ni 1) Yesu anazungumza kipimo halisi na ukarimu kwa wengine au 2) huu mfano ambao Yesu anazungumzia wa "kuelewa" kama ilikuwa ni "kupima"

ndicho mtakachopimiwa, na itaongezwa kwenu

Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Mungu atakupima, na atakuongezea"

yeye atapokea zaid...na yule vitachukuliwa

Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "kwa yeye Mungu atampa zaidi...kutoka kwake Mungu atavichukua"