sw_tn/mrk/04/18.md

1.0 KiB

Na wengine ni wale waliopandwa katika miiba

Yesu anaanza kueleza kwa namna gani watu wanakuwa kama mbegu zinazoanguka kwenye miiba. "Na watu wengine wanakuwa kama mbegu zilizopandwa katika miiba"

wanaujali ulimwengu

"masumbufu ya maisha" au "mambo yanayo husiana na maisha ya sasa"

udanganyifu wa mali

"tamaa ya mali"

huwaingia na kulisonga neno

Kama Yesu anavyoendelea kusema kuhusu watu walio kama mbegu zinazoanguka katika ya miiba, anaeleza tamaa na masumbufu yanavyofanya kwa neno katika maisha kama miiba inavyoisonga mimea midogo.

halizai

"neno hakuna kuzaa tunda lolote katika wao"

yule aliyepanda katika udongo mzuri

Yesu anaanza kueleza namna gani baadhi ya watu wako kama mbegu zilizopandwa katika udongo mzuri. "kama mbegu zilizopandwa katika udongo mzuri"

baadhi thelathini, na baadhi sitini, na baadhi mia

Hii inarejea kwa nafaka ilitokana na mimea. "baadhi huzaa nafaka thelathini, baadhi nafaka sitini, na baadhi nafaka mia" au baadhi 30 nafaka, baadhi nafaka 60, na baadhi nafaka 100"