sw_tn/mrk/04/16.md

858 B

Na baadhi ni wale

"Na baadhi ya watu ni kama mbegu." Yesu anaanza kuelezea ni kwa namna gani wanafanana kama mbegu zinazoangukia udongo wa mawe.

Na hawana mizizi yoyote ndani yao

Hii ni ulinganishi wa mimea midogo kuwa inakuwa na mizizi mifupi. Mfano huu humaanisha kwamba watu kwa mara kwanza husimumika pindi wapokeapo neno, lakini hawakujitoa kwa nguvu kwalo. "Nao wanakuwa kama miche midogo isiyokuwa na mizizi"

hakuna mzizi

Hii siyo ya kutia chumvi sana katika kuelezea, tiachumvi, kusisitiza jinsi mizizi ilivyokuwa na kina kidogo.

vumilia

Katika mfano huu, "vumilia" humaanisha "kuamini" "kuendelea katika imani"

sababu ya neno

Inaweza kuwa msaada kueleza kwanini taabu huja. Ilikuja kwa sababu watu waliliamini neno. "sababu waliliamini neno"

walijikwaa

Katika mfano huu, "kujikwaa" humaanisha "kuacha kuamini ujumbe wa Mungu"