sw_tn/mrk/03/11.md

716 B

muone yeye

"muone Yesu"

walianguka...wakalia na kusema

Hapa "wao" urejea kwa roho chafu. Ni zile zinazosababisha watu wanao wamiliki kufanya mambo. Hii inaweza kufanywa dhabiti. "ziliwasababisha watu wanao wamiliki kuanguka chini mbele yake na kulia.

walianguka mbele yake

Roho chafu hazikuanguka mbele yake Yesu kwa sababu zilimpenda au zilitaka kumwabudu yeye. Zilianguka chini mbele yake kwa sababu zilimuogopa.

Wewe ni Mwana wa Mungu

Yesu ana nguvu juu ya roho chafu kwa sababu ni yeye ni "Mwana wa Mungu"

Mwana wa Mungu

Hili ni jina la muhimu sana kwa Yesu

Aliwaamuru kwa msisitizo

"Yesu aliwaamuru kwa msisitizo roho hizo chafu"

si kumfanya yeye ajulikane

"si kumfunua yeye ni nani"