sw_tn/mrk/03/05.md

615 B

Aliangalia

"Yesu aliangalia"

alihuzunika

"alikuwa na huzuni kubwa"

ugumu wa mioyo yao

Huu mfano unaelezea jinsi Mafarisayo hawakuwa tayari kuwa na huruma kwa huyo mtu aliye kuwa na mkono uliopooza. "hawakuwa tayari kuwa na huruma kwa mtu huyo"

Nyosho mkono wako

"Nyosha mkono wako"

mkono wake uliponywa

Hii inaweza kutajwa na kauli tendaji. "Yesu alimponya mkono wake" au Yesu aliufanywa mkono wake kama ulivyo kuwa awali"

wakafanya njama

walianza kufanya mpango

Maherode

Hili ni jina la kisiasa lilompa nguvu Herode wa Antipasi

kwa namna gani watamuua

"kwa namna gani watamuua Yesu"