sw_tn/mrk/02/27.md

268 B

Sabato ilifanywa kwa ajili ya mwanadamu

"Mungu aliweka Sabato kwa ajili ya mwanadamu"

mwanadamu

"mtu" au "watu" au "mahitaji ya watu" Hii urejea kwa wanaume na wanawake.

siyo mwanadamu kwa ajili ya Sabato

'Mungu hakumuumba mtu kwa ajili ya uzuri wa Sabato"