sw_tn/mrk/02/25.md

1.2 KiB

Aliwambia

"Yesu aliwambia Mafarisayo"

Hamjasoma kile alichofanya Daudi pamoja naye? Jinsi alivyokwenda

Yesu alijua kwamba Waandishi na Mafarisayo walikuwa wamesoma simulizi. Aliwashutumu kwa kukuielewa kwa makusudi. Tafsiri mbadala: "Kumbukeni kile Daudi alichofanya...pamoja naye na jinsi alivyokwenda" au "Kama mnakumbuka kile Daudi...naye, mngejua kwamba alikwenda"

Hamkusoma kile alichofanya Daudi alipokuwa katika uhitaji na njaa-- yeye pamoja na watu waliokuwa pamoja naye

Hii inaweza kusema kama amri. "Kumbuka ulichosoma kuhusu alichofanya Daudi wakati ambapo alikuwa na watu wakiwa na uhitaji na njaa"

soma nini Daudi

Yesu anarejea kwa kusoma kuhusu Daudi katika Agano kale. Hii inaweza kutofasiriwa kuonyesha taarifa thabiti.

Jinsi alivyokwenda katika nyumba ya Mungu...kwa wale walikuwa naye?

Hii inaweza kuelezwa kama sentensi iliyotengenishwa na mstari wa 25. "Alienda aliingia katika ya Mungu...kwa wale walikuwa naye" (UDB)

namna gani alienda

Neno "a" urejea kwa Daudi

mkate uliowekwa mbele

Hii urejea kwa mikate kumi na miwili ambayo ilikuwa imewekwa kwenye meza ya dhahabu ndani ya hema au jengo la hekalu kama dhabihu kwa Mungu nyakati za kipindi cha Agano la Kale.