sw_tn/mrk/02/23.md

982 B

Sentensi unganishi

Yesu anawapa Mafarisayo mfano kutoka katika maandiko kuonyesha kwanini wanafunzi hawakuwa sahihi kuchukua masuke ya ngano siku ya Sabato.

kuchukua masuke ya ngano...kufanya kitu ambacho siyo sawa kisheria katika siku ya Sabato

Kuchukua ngano katika mashamba ya wengine na kula haikuhesabiwa kuwa wizi. Swali lilikuwa kama ilikuwa sawa kufanya jambo kama hilo siku ya Sabato

kuchukua masuke ya ngano

Wanafunzi walichukua masuke ya ngano kuyala. Hii inaweza kuelezwa kwa maneno kuonyesha maana kamili. "chukua na kula masuke ya ngano"

masuke ya ngano

Hii ni sehemu nyeti ya zao la ngano, ambayo ni aina ya nyasi pana. Hushikiria ngano iliyokomaa au mbegu za mmea

Tazama, kwanini wanafanya kitu ambacho ni kinyume na sheria katika siku ya Sabato?

Mafarisayo wanamuuliza Yesu swali kumlaani. Hii inaweza kutofasiriwa kama sentensi. "Tazama! Wanavunja sheria ya kiyahudi kuhusu Sabato"

Tazama

"Uwe makini kusikiliza kile ninachotaka kukuambia"