sw_tn/mrk/02/15.md

670 B

Sentensi unganishi

Ni badae sasa kwa siku hiyo, na Yesu anakuwa katika nyumba ya Lawi kwa ajili ya chakula.

Nyumba ya Lawi

"nyumba ya Lawi"

watu wenye dhambi

Mafarisayo walitumia kikundi cha maneno "watu wenye dhambi" kurejea kwa watu walioshindwa kutunza sheria kama walivyo fikiri Mafarisayo wangefanya.

kwa kuwa kulikuwa na wengi na walimfuata

Maana zinazowezekana ni 1) "kulikuwa na watoza kodi wengi na watu waovu waliomfuata Yesu

kwa nini anakula na wakusanya kodi na watu wenye dhambi?

Waandishi na Mafarisayo waliuliza swali hili konesha kwamba walikataa ukarimu wa Yesu. "Hakupaswa kula na kunywa na wenye dhambi na watu wanaokusanya kodi."