sw_tn/mrk/02/05.md

927 B

alipoiona imani yao.

"Akijua kwamba watu hao wana imani." Hii inaweza kumaanisha 1) kwamba ni wale watu waliokuwa wamembeba aliyepooza ndio waliokuwa na imani au 2) kwamba aliyepooza na watu wamembeba wote walikuwa na imani.

Mwana

Neno "mtoto" hapa linaonesha kwamba Yesu alimjali huyo mtu kama baba anavyomjali mwana.

dhambi zako zimesamehewa

Maana zinayowezekana 1) "Mungu amekwisha kukusamehe dhambi zako" (Taz 2:7) au 2) "Nimekusamehe dhambi zako."

walijihoji mioyoni mwao

Hapa "mioyo yao" ni mbadala wa mawazo ya watu. "walikuwa wanafikiri wao wenyewe"

Anawezaje mtu huyu kusema hivi?

Hili swali liliulizwa kuonyesha kwamba waandishi walitilia shaka uwezo wa Yesu kusamehe dhambi. "Mtu huyu hapaswi hivi!"

Nani anayeweza kusamehe dhambi isipokuwa Mungu peke yake?

Swali hili liliulizwa kuonyesha kwamba waandishi walitia shaka kwamba Yesu ni Mungu. "Mungu peke yake ndiye anaweza kusamehe dhambi!"