sw_tn/mrk/01/43.md

681 B

Maelezo ya jumla

Neno "yeye" ni limetumiwa kurejea kwa yule mkoma aliyeponywa na Yesu.

Uwe na uhakika kutosema chochote kwa yoyote.

"Uwe na uhakika kutosema chochote kwa yoyote"

jionyeshe mwenyewe kwa kuhani

Yesu alimwambia mtu kujionyesha mwenyewe kwa kuhani ili kuhani aweze kumuona ngozi yake kama kwamba ukoma wake umekwisha. Ilihitajika katika sheria ya Musa mtu kujionyesha kwa kuhani kama amekuwa safi.

jionyeshe mwenyewe

Neno "mwenyewe" linawakilisha ngozi ya mwenye ukoma. "jionyeshe ngozi yako"

ushuhuda kwao

Ni vizuri kutumia nomino "wao", kama inawezekana, katika lugha yako. Maana zinazowezekana ni 1) "ushuhuda kwa makuhani" 2) "ushuhuda kwa watu"