sw_tn/mrk/01/40.md

945 B

Mwenye ukoma alikuja kwake; alikuwa akimsihi wakati amepiga magoti na kumwambia

"Mwenye ukoma alikuja kwa Yesu; mwenye ukoma alikuwa akimsihi Yesu akiwa amepiga magoti chini. Mwenye ukoma alisema kwa Yesu"

Kama unataka, unaweza kunifanya safi

Kikundi cha maneno "kunifanya safi" kinaeleweka kutoka kwenye kikundi kingine cha maneno. "Kama unataka kunifanya safi, basi unaweza kunifanya safi."

uko tayari

"nataka" au "hamu"

unaweza kunifanya niwe safi

Nyakati za Biblia, mtu aliye kuwa na ugonjwa wa ngozi alihesabika siyo msafi mpaka pale ngozi ilipo ponywa na kubaki bila kuwa na maambukizi. "unaweza kuniponya"

Alisukumwa na huruma, Yesu

Hapa neno " kusukumwa" ni lugha inayo maanisha kuwa na hisia juu ya hitaji la mtu mwingine. "Kuwa na huruma kwa ajili yake, Yesu "au" Yesu alipatwa na huruma kwa ajili ya mtu.

Nina utayari

Inaweza kuwa msada kutaja kitu gani Yesu ana utayari kufanya"Ninatamani kukufanya uwe safi"