sw_tn/mrk/01/29.md

514 B

Sentensi unganishi

Baada ya kumponya mtu aliye pagawa na pepo, Yesu alimponya mama mkwe wa Simoni pamoja na watu wengi wengine.

Sasa mama mkwe wa Simoni alikuwa amelala akiumwa na homa

mkwe alikuwa mgonjwa na homa. Neno "sasa" hutambulisha mama mkwe wa Simoni katika hadidhi na kutupa maelezo ya nyuma kuhusiana yeye.

wachache waliondoka

Inaweza kuonyeshwa waziwazi nani aliye mponya. "Yesu alimponya homa yake"

alianza kuwahudumia

Inamaamisha chakula kilitengwa. "Aliwahudumia chakua la vinywaji"