sw_tn/mrk/01/27.md

287 B

waliulizana wao kwa wao, "Hiki ni nini? Mafundisho yaliyo na mamlaka?

Mwitikio wa watu unaweza kuandikwa na sentensi hizi badala ya maswali. "walisema wao kwa wao, "Hii ina shanganza! Anatoa mafundisho mapya, na huzungumza na mamlaka!"

Pia ana amru

Neno "yeye" ulerejea kwa Yesu.