forked from WA-Catalog/sw_tn
433 B
433 B
Sentensi unganishi
Katika mji wa Kaperinaumu siku ya Sabato Yesu anafundisha katika sinagogi. Anaondoa pepo kwa mtu, ambayo inashanganza watu walio maeneo ya karibu ya Galilaya.
alikuja Kaperinaumu
"alifika Kaperinaumu"
kama mtu aliye na mamlaka na wala siyo mwandishi
Kuna maneno yaliyo achwa katika sentensi hii ambayo yanaweza kuongozwa. AT: "kama mtu aliye na mamlaka alifundisha na siyo kama waandishi wafundishavyo"