sw_tn/mrk/01/21.md

433 B

Sentensi unganishi

Katika mji wa Kaperinaumu siku ya Sabato Yesu anafundisha katika sinagogi. Anaondoa pepo kwa mtu, ambayo inashanganza watu walio maeneo ya karibu ya Galilaya.

alikuja Kaperinaumu

"alifika Kaperinaumu"

kama mtu aliye na mamlaka na wala siyo mwandishi

Kuna maneno yaliyo achwa katika sentensi hii ambayo yanaweza kuongozwa. AT: "kama mtu aliye na mamlaka alifundisha na siyo kama waandishi wafundishavyo"