sw_tn/mrk/01/12.md

339 B

Sentensi unganishi

Baada ya ubatizo wa Yesu, anakuwa nyikani kwa siku arobaini na badae kwenda Galilaya kufundisha na kuita wanafunzi wake.

alimlazimisha kwenda nyikani

"alimwongoza Yesu nje kwa shinikizo"

Alikuwako nyikani

"Alikaa nyikani"

siku arobaini

"muda wa siku arobaini"

Alikuwa pamoja na

"alikuwa miongoni mwa"