forked from WA-Catalog/sw_tn
674 B
674 B
Alihubiri
Yohana alihubiri
Sina hadhi hata ya kuinama chini na kufungua kamba za viatu vyake
Yohana anajilinganisha mwenyewe kama mtumishi kuonyesha jinsi gani Yesu ni mkuu. AT:"Sina hadhi na hata kufanya jukumu la chini la kumvulisha viatu vyake.
Ukanda wa ndara zake
Wakati Yesu alipokuwa hai, watu walivaa ndara zilizotengenezwa kwa ngozi na kufungwa kwa ukanda wa ngozi.
Kuinama chini
ni kupinda kwa kuelekea chini
lakini atawabatiza ninyi kwa Roho Mtakatifu
Ubatizo wa kiroho umelinganishwa kwa ubatizo wa maji. Ubatizo wa kiroho huwaleta watu katika mahusiano na Roho Mtakatifu kama ilivyo katika ubatizo wa maji unamleta mtu kuwa uhusiano na maji