sw_tn/mrk/01/07.md

674 B

Alihubiri

Yohana alihubiri

Sina hadhi hata ya kuinama chini na kufungua kamba za viatu vyake

Yohana anajilinganisha mwenyewe kama mtumishi kuonyesha jinsi gani Yesu ni mkuu. AT:"Sina hadhi na hata kufanya jukumu la chini la kumvulisha viatu vyake.

Ukanda wa ndara zake

Wakati Yesu alipokuwa hai, watu walivaa ndara zilizotengenezwa kwa ngozi na kufungwa kwa ukanda wa ngozi.

Kuinama chini

ni kupinda kwa kuelekea chini

lakini atawabatiza ninyi kwa Roho Mtakatifu

Ubatizo wa kiroho umelinganishwa kwa ubatizo wa maji. Ubatizo wa kiroho huwaleta watu katika mahusiano na Roho Mtakatifu kama ilivyo katika ubatizo wa maji unamleta mtu kuwa uhusiano na maji