sw_tn/mic/07/05.md

313 B

Maelezo ya jumla:

Mika anaendelea kuongea na watu wa Israeli.

Msimwamini kila jirani...watu wa nyumba yake mwenyewe

Mika anaendelea kuonyesha kwamba hakuna mtu yeyote mzuri, mwadilifu, na mwaminifu kwa Mungu miongoni mwa watu wa Mungu. Hapa anasisistiza kwamba hawawezi hata kuwaamini marafiki au familia.