sw_tn/mic/07/01.md

480 B

Kwangu mimi ni kama msimu wa mavuno...matini ya malimbuko

Mika anasisitiza kwamba hakuna tean watu waadilifu, waaminifu kwa Mungu, katika Israeli. "Kwangu mimi watu wa Israeli ni kama shamba la mzabibu baada ya mavuno na kukusanya. Mizabibu imejifunua. Siwezi kupata tunda lolote, lakini bado natamani sana kula tini lililoiva.

Watu waaminifu wamepotelea...kwa wavu

Mika anakuza kuonyesha jinsi ambavyo hali ilivyo mbaya. Anahisi hakuna mtu mwema aliyebaki katika Israeli.