sw_tn/mic/06/11.md

699 B

Ningeweza kumfikiria mtu kuwa hana hatia kama anatumia kipimo cha ulaghai, pamoja na mfuko wa kipimo cha udanganyifu

Yahwe anatumia swali kusisitiza kwamba anaangalia hatia ya mtu adanganyaye wengine ili kutengeneza pesa zaidi. "Hakika nitamwangalia mtu mwenye hatia kama akitumia kipimo kisicho haki na uzito ili kuwadanganya wengine na kutengeneza pesa zaidi kwa ajili yake mwenyewe.

Watu matajiri wamejawa udhalimu

"Watu matajiri wanawachukulia maskini faida"

makazi yao yamesema uongo, na ulimi wao katika midomo yao unaudanganyifu

Vishazi hivi vyote vinamaanisha kitu kimoja na vimeungana kwa ajili ya msisitizo. "Ninyi nyote ni waongo." Hii itafanya matokeo ya mhemko kwa wasomaji.