sw_tn/mic/06/06.md

827 B

Je nilete nini kwa Yahwe, ninapoenda kumwinamia Mungu aliye juu? Je ninaweza kuja kwake na sadaka za kuteketeza, pamoja na ndama wenye mwaka mmoja?Je Yahwe atapendezwa na maelfu ya kondoo waume, au na elfu kumi za mito ya mafuta? Je nimtoe mzaliwa wangu wa kwanza kwa ajili ya kosa langu, tunda la mwili wangu kwa ajili ya dhambi yangu mwenyewe?

Mika anatumia maswali kuwafundisha watu wa Israeli kusu kile hasa kinachomtukuza Mungu. "Hakika hufikirii kwamba unaweza kumtukuza Mungu kwa kumletea ndama mkubwa mwenye mwaka mmoja, kondoo 1,000, 10,000 mito ya mafuta, au mtoto wako wa uzao wa kwanza kama sadaka kwa ajili ya dhambi zako."

mzaliwa wangu wa kwanza kwa ajili ya kosa langu, tunda la mwili wangu kwa ajili ya dhambi yangu mwenyewe

Hivi virai viwili vinamaanisha kitu kimoja.

Amekwambia

"Yahwe amekwambia"