sw_tn/mic/06/03.md

955 B

Maelezo ya Jumla:

Hii inaendelea madai ya Yahwe juu ya watu wa Israeli.

Watu wangu, nimefanya nini kwenu? nimewachosha mara ngapi? shuhudieni dhidi yangu!

Mungu anatumia haya maswali kusisitiza kwamba yeye ni Mungu mwema, na hajafanya kitu kuwafanya watu kukoma kumwabudu yeye. "Watu wangu, nimekuwa mwema kwenu. Sijafanya kitu kuwafanya mnichoke. Kama mnafikiri nimefanya, shuhudieni juu yangu, sasa."

nyumba ya utumwa

"mahali ambapo mlipokuwa watumwa"

kumbukeni

"kumbuka"

Balaki mfalme wa Moabu alivyotunga, na vile ambavyo Balamu mwana wa alivyomjibu

Hii inaonyesha kwenye tukio la nyuma wakati Mfalme Balaki alipompangisha Balamu kuwafanya watu wa Israeli. Aidha, Mungu alimruhusu Balamu kuwabariki watu tu.

Beori

Hili ni jina la baba yake na Balamu.

Shitimu

Hili ni jina la mahali katika Moabu.

kwamba mnaweza kujua matendo ya haki yangu, Yahwe.

"hivyo basi mnaweza kukumbuka mimi ni nani, na nini nimefanya juu yenu"