sw_tn/mic/05/10.md

400 B

Itatokea siku hiyo

Hii inarejea kwa mda usio dhahiri mbeleni, ni kama kipindi cha uhamisho.

Nitawaharibu farasi wako kutoka miongoni mwenu na nitayavunja magari ya farasi

Watu wa Israeli walitumia farasi na magari ya farasi tu katika vita. Pia ilijumuisha ushirikiano na wageni, nchi zisizomjua Mungu. Mungu hakutaka watu waamini silaha zao za vita kuwalinda zaidi kuliko walivyomwamini yeye.