forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
481 B
Markdown
8 lines
481 B
Markdown
# katikati ya mataifa, katikati ya watu wengi
|
|
|
|
Hivi virai viwili kimsingi vinamaanisha jambo moja na kusisitiza kwamba "mabaki ya Yakobo" wataishi katika mataifa mengi tofauti tofauti.
|
|
|
|
# kama simba katikati ya wanyama wa msitu, kama mwana simba katikati ya kundi la kondoo. Wakati akipita katikati yao, atawakanyaga juu yao na kuwararua kuwa vipande vipande
|
|
|
|
Hii inasisitiza kwamba watu wa Israeli watakuwa na uwezo na ujasiri wakiwa uhamishoni kuhukumu na kuwaharibu maadui zao.
|