sw_tn/mic/05/02.md

1.2 KiB

Lakini wewe, Bethelehemu Efrata

Yahwe anazungumza na watu wa huu mji kana kwamba wako pale wanasikiliza.

Efrata

Hili ni mojawapo ya jina la eneo ambalo Bethehemu ilipokuwa au inaitwa kwa jina jingine kwa ajili ya Bethelehemu au inatofautisha Bethelehemu hii kutoka nyingine. Bethelehemu ipo kama maili sita kusini mwa Yerusalemu. Palikuwa ni nyumbani mwa mji wa Mfalme Daudi. Watafsiri wanaweza kuongeza hii rejea: "Jina 'Efrata' maana yake 'kuzaa matunda."'

hata kama uko mdogo katikati ya koo za Yuda

Hii inamaanisha Mungu atafanya mambo makubwa kupitia kidogo na mji usiokuwa na maana.

atakuja kwangu

Hapa "mimi" inamrejea Yahwe.

ambaye mwanzoni ni kutoka nyakati za kale, kutoka milele

Hii inaurejea ukoo mtawala kutoka familia ya zamani ya Mfalme Daudi. Virai "kutoka nyakati za zamani" na "kutoka milele" kimsingi inamaanisha kitu kimoja na kusisitiza jinsi hii safu ya familia ilivyo ya zamani.

Kwa hiyo Mungu atawatoa

"Kwa hiyo Mungu atajitenga na watu wa Israeli"

hadi wakati yeye aliye katika uchungu atakapozaa mtoto

Hii inarejea kipindi wakati mtawala amezaliwa, muda wenye ukomo.

mabaki ya ndugu zake

"mabaki ya jamaa zake Waisraeli." Hawa ni Waisraeli katika uhamisho. Hapa "yeye" inamrejea mtoto ambaye atakuwa mtawala.