sw_tn/mic/05/01.md

794 B

kundi la watu, watu, watu, watu, watu

Neno "watu" au "kundi la watu linarejea kwa kundi la watu ambao wanatumia lugha moja wote na utamaduni mmoja. Kirai "watu" mara nyingi inarejea kwa mkusanyiko wa watu katika mahali fulani au katika tukio maalumu.

Yerusalemu

Yerusalemu ilikuwa asili ya mji wa Wakanaani ambao badaye ulikuwa mji muhimu zaidi katika Israeli. Inaonyesha kama kilomita 34 magharibi mwa Bahari ya Chumvi na kaskazini mwa Bethelehemu. Bado ni mji mkuu wa Israeli ya sasa.

Israeli, Waisraeli, taifa la Israeli

Neno "Israeli" ni jina ambalo Mungu alimpatia Yakobo. Maana yake, "alipambana na Mungu."

ufito

Neno "fimbo" linarejea kwa nyembamba, ngumu, fimbo kama kifaa ambacho kilitumika katika njia nyingi tofauti tofauti. Ilikuwa kama walau mita moja katika urefu.