sw_tn/mic/04/11.md

354 B

Maelzo ya Jumla:

Yerusalemu itawashinda maadui zake.

Acha atiwe unajisi; acha macho yetu yaitazame Sayuni

"Ngoja tuuangamize mji wa Yerusalemu na kuwaharibu watu wake hivyo tunaweza kuchukua furaha kubwa katika kuanguka kwao."

kwa kuwa amewakusanya kama miganda kupura sakafuni

Hii inamaanisha pia Mungu anajiandaa kuwaadhibu watu wa mataifa.