sw_tn/mic/04/06.md

788 B

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaelezea "siku za mwisho" wakati watu watakapojifunza na kutii sheria ya Yahwe.

Siku hiyo

"Katika siku zijazo"

Nitamkusanya achechemeaye

"Nitawaleta pamoja wale ambao ni wadhaifu"

na kumkusanya aliyefukuzwa

"na kuwakusanya wale ambao nimewafanya kuwatoka"

na wale waliotupwa mbali kwenye kwenye taifa imara

"na wale niliowatupa mbali nitalifanya taifa imara"

mnara wa saa kwa ajili ya kundi

Yahwe anatumia hiki kirai kusisitiza kwamba watu wa Yerusalemu walitakiwa kuulinda na kuuangalia kwa ajili ya watu wengine wa Israeli.

kilima cha binti Sayuni

"Binti" wa mji inamaanisha watu wa mji. "kilima ambacho watu wa Sayuni huishi"

kilima

Baadhi ya matoleo ya kisasa yanaelewa hili neno la Kiebrania kumaanisha "boma" au "ngome" hapa.