sw_tn/mic/03/05.md

593 B

Maelezo ya Jumla:

Mika anaendelea kuongelea hukumu juu ya manabii wa uongo.

itakuwa usiku kwenu...siku itakuwa giza juu yao

Yahwe anasema katika 3:6 hawa manabii wa uongo hawatapokea tena ujumbe wa Mungu kwa watu wa Israeli. Wakati mwingine manabii walipata ujumbe kutoka kwa Mungu kupitia maono, au ndoto usiku.

Waonaji watawekwa kuwa aibu, na waaguzi watachanganyikiwa

"Nitawafanya waonaji kuwa aibu, na nitawachanganya waaguzi"

Wote watafunga midomo yao

"Hawataongea tena"

kwa kuwa hakuna jibu kutoka kwangu

Hii inamaanisha Mungu atakuwa kimya kama sehemu ya adhabu yao.