sw_tn/mic/03/04.md

272 B

Maelezo ya Jumla:

Mika anaendelea kuongea.

lia kwa Yahwe

"piga kelele kwa Yahwe kwa ajili ya msaada"

Atauficha uso wake kutoka kwenu

Hii inamaanisha Mungu hatasikia vilio vyao. Hawatasikia vilio vya maskini, na hivyo wapokee kama walivyofanya kutoka kwa Mungu.