sw_tn/mic/02/12.md

384 B

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anaendelea kuongea. Mwishoni mwa hii sura, Yahwe anajionyesha yeye mwenyewe kuwa mchungaji ambaye awachungaye watu wake. Anaweza hasa kuwatambulisha wale walio katika Yerusalemu ambaye amerudi kutoka Ashuri.

Mtu avunjaye hufungua njia...Yahwe atakuwepo kwenye vichwa vyao.

Hii ni picha ya Mfalme akiwaongoza watu wake mbali na mji uliozungushiwa ukuta.