sw_tn/mic/02/06.md

1.1 KiB

Maelezo ya jumla:

Mika 2:6-11 inawatambulisha manabii ambao hawajahubiri kwa ufasaha, wale waliomkataa Mika, na njia nyingi tajiri amezitumia vibaya nguvu zao.

wanasema

"watu wa Israeli husema"

Hawatahubiri

"Manabii hawatatabiri"

Je! Roho wa Yahwe amekasirika? Je! haya ni matendo yake kweli?

Watu hutumia maswali kusisitiza kwamba hawajaelewa na kutomwamini Mungu atawaadhibu kweli.

Maneno yangu sio mazuri kwa kila mtu atembeaye kwa unyoofu?

Mika anatumia swali kuwafundisha watu. "Ujumbe wangu ni mzuri kwa wale wanaohusika kwa kufanya yale mazuri."

watu wangu

Hapa "wangu" linamrejea Yahwe.

Mmelivua joho, nguo, kutoka wale wapitao wasioshutumiwa

Maana ziwezekanazo 1) Mika anamaanisha watu matajiri waovu ni kweli wanaiba majoho kutoka maskini, lakini hii ni tofauti. Au 2) Mika anarejea kwa watunzaji wa mapato ya mawia mavazi ya nje ya maskini wajao kuazima pesa na kutoa mavazi kama dhamana warudishapo. Kulingana na sheria kwenye Kutoka, walitakiwa kurudisha kabla ya kuchwa kwa sababu inaweza kuwa jambo pekee la mtu maskini kuwekwa joto usiku