sw_tn/mic/02/03.md

807 B

huu ukoo

Huu "ukoo" inaihusu jamii nzima ya Israeli, ambayo watu matajiri wanawakandamiza maskini. Dhambi za wakuu zinarudi juu ya taifa zima.

ambazo hamtazitoa shingo zenu

Yahwe inamaanisha adhabu yake ni kama nira kuzunguka shingo zao. Ni kitu ambacho kitashusha chini kiburi cha tajiri.

kuomboleza kwa maombolezo ya huzuni

"watalia kwa sauti"

Je! Ataondoaje kutoka kwangu?

adui hutumia swali katika wimbo wao kuwaelezea wakuu mshangao wa Israeli waliojisikia kwa sababu Mungu aliikuchukua nchi yao na kuitoa kwa mtu mwingine kama walivyokuwa wameochukua kutoka maskini. "Ameichukua kutoka kwangu!"

Kwa hiyo, ninyi watu matajiri hamtakuwa na uzao kugawanya eneo kwa kupiga kura katika mkutao wa Yahwe.

Wale ambao walioichukua nchi kutoka maskini hawatapokea urithi wamewakataa wengine.