sw_tn/mic/01/08.md

908 B

Maelezo ya jumla

Mika 1:8-16 inazungumzia hukumu juu ya Yuda.

Nitaomboleza

Hapa "mimi" inamrejea Mika.

Nitaenda peku na uchi

Hii ni ishara ya maombolezo makali mno na kujitesa.

uchi

Mara nyingi, Mika hakuwa uchi mwili mzima. Alikuwa amevaa msuli.

Nitalia kama mbweha na kuomboleza kama bundi

Hawa ni wanyama wajulikanao kwa sauti na kilio chao kisichopendeza

Kwa kuwa jeraha lake haliponi

Hapa "yeye" inarejea kwa mji wa Samaria. Hii inamaana hakuna kitu kinachoweza kuzuia jeshi la adui ambalo ninalokuja kuwaharibu watu wa Israeli.

kwa kuwa imefika kwa Yuda

Hapa "hiki" inarejea kwa "jeraha," ambayo ni, kwa jeshi ambalo Mungu atakalolitumia kuiharibu Samaria.

Beth Leafra

Unaweza kutaka rejea kusema, "Jina la huu mji linamaana ya 'nyumba ya vumbi."'

Najibiringisha mimi mwenyewe kwenye mavumbi

Watu chini ya hukumu ya Mungu wanaweka wazi huzuni yao katika njia imara.