forked from WA-Catalog/sw_tn
908 B
908 B
Maelezo ya jumla
Mika 1:8-16 inazungumzia hukumu juu ya Yuda.
Nitaomboleza
Hapa "mimi" inamrejea Mika.
Nitaenda peku na uchi
Hii ni ishara ya maombolezo makali mno na kujitesa.
uchi
Mara nyingi, Mika hakuwa uchi mwili mzima. Alikuwa amevaa msuli.
Nitalia kama mbweha na kuomboleza kama bundi
Hawa ni wanyama wajulikanao kwa sauti na kilio chao kisichopendeza
Kwa kuwa jeraha lake haliponi
Hapa "yeye" inarejea kwa mji wa Samaria. Hii inamaana hakuna kitu kinachoweza kuzuia jeshi la adui ambalo ninalokuja kuwaharibu watu wa Israeli.
kwa kuwa imefika kwa Yuda
Hapa "hiki" inarejea kwa "jeraha," ambayo ni, kwa jeshi ambalo Mungu atakalolitumia kuiharibu Samaria.
Beth Leafra
Unaweza kutaka rejea kusema, "Jina la huu mji linamaana ya 'nyumba ya vumbi."'
Najibiringisha mimi mwenyewe kwenye mavumbi
Watu chini ya hukumu ya Mungu wanaweka wazi huzuni yao katika njia imara.