sw_tn/mic/01/05.md

743 B

Haya yote ni kwa sababu ya uasi wa Yakobo, na kwa sababu ya dhambi za nyumba ya Israeli

Hivi vifungu vya maneno kimsingi vinamaanisha kitu kimoja na kukazia kwamba Yahwe anatenda kwa sababu ya dhambi za falme zote mbili yaani kaskazini na kusini .

Haya yote ni

"Bwana Mungu atakuja na kuhukumu"

Je! Sababu ilikuwa nini kwa uasi wa Yakobo? Je! Haikuwa Samaria? Je! Haikuwa Samaria?

Hapa "Yakobo" anarejelea kwa ufalme wa kusini mwa Israeli. Mika anatumia maswali kuwasisitiza hao watu wa Samaria ni sababu ya Mungu kuuhukumu ufalme wa Israeli.

Je! Sababu ilikuwa nini kwa mahali pa juu pa Yuda? Je! Haikuwa Yerusalemu?

Mika anatumia maswali kuwasisitiza hao watu wa Yerusalemu ndio sababu Mungu ya kuja kuuhukumu ufalme wa Yuda.