sw_tn/mat/28/14.md

566 B

Kamataarifa hii itmfikia liwali

"Kama liwali atasikia haya kuwa mlikuwa mmesinzia wakati wanafunzi wa Yesu walipouchukua mwili"

Liwali

"Pilato"

Tutamshawishi na kuwaaondoleeni ninyi mashaka

"msihuzunike. tutongea naye ili asiwaadhibu"

na kufanya kama walivyokuwa wameelekezwa

"walifanya kile ambacho makuhani waliwaambia kufanya"

Habari hii ikaenea sana kwa Wayahudi na imekuwa hivyo hadi leo

"Wayahudi wengi waliisikia habari hii na wanaeendelea kuwaambia wengine hadi leo"

hadi leo

Hii inamaanisha wakati Mathayo alipokuwa akiandika kitabu.