forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
527 B
Markdown
20 lines
527 B
Markdown
# Sasa
|
|
|
|
Neno hili limetumika kuonesha kuanza kwa habari nyingine. Mathayo anaanza kueleza sehemu mpya ya habari
|
|
|
|
# kutoka saa ya sita ... hadi saa tisa
|
|
|
|
Kuanzia mnamo adhuhuri ... kwa muda wa saa tatu" au "kuazia mnamo muda wa saa sita mchana ... hadi mnamo muda wa saa tisa mchana"
|
|
|
|
# kulikuwa na giza katika nchi yote
|
|
|
|
Neno "giza" ni nomino. "ilikuwa giza nchi yote"
|
|
|
|
# Yesu akalia
|
|
|
|
"Yesu akaita" au "Yesu alipiga kelele"
|
|
|
|
# Eloi. Eloi. lamathabakithani
|
|
|
|
Haya ndiyo maneno amabyo Yesu aliita kwa sauti kuu katika lugha ya.ke
|