sw_tn/mat/26/39.md

987 B

Alianguka kifudifudi.

Kwa makusudi kuweka uso chini ili upate kuomba.

Baba yangu.

Hili ni jina maarufu la Mungu ambalo huonesha uhusiano kati ya Mungu na Yesu.

KIkombe hiki kiniepuke.

Usemi huu, "kikombe hiki" huashiria mateso ambayo Yesu atapitia.

Hata hivyo, siyo kama nipendavyo, bali kama utakavyo.

Hii inaweza kuelezwa kama sentensi iliyo kamilika. "Lakini usifanye kile nitakacho bali kile utakacho."

akamwambia Petro, kwa nini hamkukesha

Yesu anamwambia Petro, kiwakilishai cha "hamku" ni cha wingi kinamaanisha Petro, Yakobo na Yohana.

kwa nini hamkuweza kukesha nami hata kwa saa moja?

"Ninasikitaka kuwa hamkuweza kukesha nami hata kwa saa moja"

msiingie katika majaribuni

"mtu yeyote asiwajaribu mtende dhambi"

Roho i radhi, lakini mwili ni dhaifu

Roho inamaanishahamu ya nafsi. Na "mwili" inamaanisha mwanadamu kamili. Yesu anamaanisha wanaweza kuwa na hamu ya kufanya mapenzi ya Mungu, Lakini kama wanadamu ni wadhaifu na wanaweza kushindwa