sw_tn/mat/25/14.md

1.0 KiB

Sentensi unganishi

Yesu anaeleza mfano wa mtumishi mwaminifu na asiye mwaminifu ili kuwafundisha wanafunzi wake kubaki waaminifu wakati yeye hatakuwepo na wawe tayari kwa ajili ya kurudi kwa Yesu.

Ni sawa na.

"Ufalme wa mbinguni ni unafanana na."

Alipotaka kuondoka

"Alipokuwa tayari kuondoka" au mara alipotaka kuondoka."

Aliwakabidhi utajiri wake.

"Akawapa usimamizi wa mali yake." au "akawapa usimamizi wa utajiri wake."

Utajiri wake.

"Mali yake."

Talanta tano.

"Talanta moja" ilikuwa na thamani ya mishahara wa miaka ishirini. Epuka kutafsiri jambo hili katika pesa za siku hizi. Mfano huo unalinganisha uwiano wa kiasi cha tano, cha mbili na kiasi cha moja sawia na kiasi kikubwa cha utajiri uliotumika. "mifuko mitano ya dhahabu."

kulingana nauwezo wake

"kulingana na uwezo wa kila mtumishi wa kusimsmia mali"

Na kuzalisha talanta zingine tano.

"Kutokana na uwekezaji wake, alipata faida ya talanta zingine tano."

na kuzalisha talanta zingine tano

"kutokana na uwekezaji wake, akazalisha talanta zingine tano"