forked from WA-Catalog/sw_tn
755 B
755 B
Sentensi unganishi
Yesu anaomboleza juuya watu wa Yerusalemu kwa sababu wanamkataa kila aliyetumwa na Mungu kwao
Yerusalemu, Yerusalemu.
Yesu anazungumza na watu wa Yerusalemu kana kwamba wao wenyewe ndio walikuwa mji.
ambao wanatumwa kwako
wale ambao Mungu huwatuma kwako
Watoto wenu.
"watu wako" au 'kizazi chako"
kama vile kuku awakusanyavyo vifaranga wake chini ya mabawa yake
Huu ni usemi unaosisitiza upendowa Yesu kwa watu n a jinsi alivyotaka kuwajali.
Nyumba yako imeachwa ukiwa.
"Mungu ataiacha nyumba yako, na itabaki tupu."
Nyumba yako.
Maana yake ni : (1). Mji wa Yerusalemu au (2). Hekalu.
Nami nakuambia
Huu ni msisitizo wa kile Yesualichosema baadaye
Amebarikiwa yeye ajaye kwa jina la Bwana
Tazama 21:9