sw_tn/mat/23/37.md

755 B

Sentensi unganishi

Yesu anaomboleza juuya watu wa Yerusalemu kwa sababu wanamkataa kila aliyetumwa na Mungu kwao

Yerusalemu, Yerusalemu.

Yesu anazungumza na watu wa Yerusalemu kana kwamba wao wenyewe ndio walikuwa mji.

ambao wanatumwa kwako

wale ambao Mungu huwatuma kwako

Watoto wenu.

"watu wako" au 'kizazi chako"

kama vile kuku awakusanyavyo vifaranga wake chini ya mabawa yake

Huu ni usemi unaosisitiza upendowa Yesu kwa watu n a jinsi alivyotaka kuwajali.

Nyumba yako imeachwa ukiwa.

"Mungu ataiacha nyumba yako, na itabaki tupu."

Nyumba yako.

Maana yake ni : (1). Mji wa Yerusalemu au (2). Hekalu.

Nami nakuambia

Huu ni msisitizo wa kile Yesualichosema baadaye

Amebarikiwa yeye ajaye kwa jina la Bwana

Tazama 21:9