sw_tn/mat/23/25.md

631 B

Ole wenu.

Tazama 11:20

Kwa kuwa mnasafisha nje ya kikombe a nje ya sahani... kutokuwa na kiasi

"Waandishi" na "Mafarisayo" kwa wengine wanaonekana "safi kwa nje, lakini ndani ni wachafu

Kwa ndani wamejaa dhuluma and kutokuwa na kiasi.

"Wanachukua vitu vya watu kwa ubinafsi

Ewe Mfarisayo kipofu.

Mafarisayo walikuwa vipofu kiroho. Ingawa wao wenyewe walijidhania kuwa walimu. hawakuwa na uwezo wa kuelewa ukweli wa Mungu

Safisheni kwanza ndani ya kikombe na ndani ya sahani, ili nje pia pawe safi.

Hii ni sitiari inayomaanisha kuwa kama wangekuwa safi mioyoni mwao, basi matokeo yake wangekuwa safi kwa nje pia