sw_tn/mat/23/23.md

970 B

Ole wenu.

Tazama 11:20.

Bizali, Mnanaa, na Mchicha.

Majani na mbegu zinazotumika kuungia chakula.

kuacha mengine bila kutekeleza

"hamkutii

mambo mazito

"mambo y a muhimu zaidi"

lakini haya mnapaswa kuwa mmeyafanya

"mnapaswa kuwa mmeziheshimu hizi sheria za muhimu"

na siyo kuyaacha mengine bila kuyatekeleza

"wakati pia mnatii zile sheria ndogondogo"

Ninyi viongozi vipofu.

Tazama 15:12

Ninyi ambao mnachuja mdudu mdogo lakini mnameza ngamia.

Kuwa mwaangalifu kufuatilia sheria zenye uzito kidogo na kupuuzia sheria zenye uzito mkubwa, hiyo ni upumbavu sawa na kuwa mwangalifu kwa kutokumeza mnyama mdogo aliye najisi, bali unakula nyama ya mnyama mkubwa sana aliye najisi pengine kwa makusudi au kwa kutokujuwa. AT: "Wewe ni mpumbavu kama mtu ambaye anachuja mdudu aliyeangukia ndani ya kinywaji chake lakini akimeza ngamia."

Kuchuja mdudu.

Kujucha kwa kutumia ktambaa ili kuondoa mdudu katika kinywaji

Mdudu.

Mdudu mdogo arukae.