sw_tn/mat/23/01.md

12 lines
401 B
Markdown

# Maelezo kwa ujumla
Huu ni mwamnzowa habari mpya inyoenedelea hadi 25:44, amabpo Yesu anafundisha juu ya wokovu na hukumu ya mwisho. Anaanza kuwaonya watu juu ya Mafarisayo na waandishi
# Wanakalia kiti cha Musa.
Kiti kinamaanisha mamlaka ya kutawala na kuhukumu. "Wanayo mamlaka kama aliyokuwanayo Musa." au "wanayo mamlaka ya kusema maana ya sheria Musa."
# Chochote.
"Yoyote" au "kila kitu."