sw_tn/mat/22/34.md

196 B

Sentensi unganishi

Farisayo mwanasheria alimtega Yesu kwa swali kwa kumwuliza swali gumu juu ya amri kuu

Mwanasheria.

Farisayo ambaye alikuwa na ujuzi maalum katika kuelewa sheria ya Musa.