forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
476 B
Markdown
20 lines
476 B
Markdown
# Sentensi ungsnishi
|
|
|
|
Yesu anaendelea kueleza mfano
|
|
|
|
# Baada ya kupokea
|
|
|
|
"pindi wafanyakazi waliofanya kazi kwa muda mrefu walipopokea"
|
|
|
|
# Mmiliki wa shamba
|
|
|
|
"mmiliki shamba" au "mwenye mizabibu"
|
|
|
|
# umewalinganisha na sisi
|
|
|
|
"umewalipa kiasi kilekile cha fedha sawa na ulivyotulipa"
|
|
|
|
# Sisi tumebeba mzigo kwa siku nzima na kuungua na joto
|
|
|
|
Kirai "tumebeba mzigo kwa siku nzima" ni nahau inayomaanisha kuwa "sisi ambao tumefanya kazi kwa siku nzima tukiungua na joto la jua"
|