sw_tn/mat/18/28.md

296 B

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwaambia mfano wanafunzi wake

Dinari mia moja

"dinari 100" au "malipo ya kibarua ya siku miamoja"

alimvuta, akamkaba kooni

"yulemtumwa wa kwanza alimkaba mtumwa mwenzake

alimkaba

kumung'ang'nia " au "kamata kwa nguvu"

alianguka

Tazama 18:26