forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
527 B
Markdown
24 lines
527 B
Markdown
# Sisi
|
|
|
|
waongeaji na si wasikilizaji
|
|
|
|
# Kwa nini tusingeweza kuifukuza?
|
|
|
|
"Kwa nini tusimfanye pepo amtoke kijana?"
|
|
|
|
# Hakuna kitakachowezekana kwenu kukifanya
|
|
|
|
"Mtaweza kufanya kitu chochote
|
|
|
|
# kweli nawaambieni
|
|
|
|
"nawambia ukweli"
|
|
|
|
# kama mtakuwa na imani hata ndogo kama punje ya mbegu haradali
|
|
|
|
Yesu analinganisha ukubwa wa mbegu ya haradari na kiasi cha imani kinachotakiwa ili kufanya miujiza. inahitajika imani ndogo tu ili kufanya miujiza.
|
|
|
|
# hakutakuwa na kitu chochotte cha kushindikan kwenu
|
|
|
|
mtaweza kufanya kila kitu
|